Search This Blog
Tuesday, December 3, 2019
Lulu Diva: Uno Langu Halijamsumbua Tanasha
BAADA ya kutunza fedha nyingi na kukata mauno ya aina yake kwenye arobaini ya mtoto wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ mwanamuziki Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amesema uno lake alilokuwa akimkatia mwanamuziki huyo halijamshtua Tanasha bali watu wanatengeneza maneno.
Lulu Diva aliiyambia Wikienda kuwa alicheza kawaida sana lakini hajui kwa nini watu wamemchukulia kama alikuwa akicheza vibaya mbele ya Diamond.
“Sijui kama Tanasha anaweza kushtushwa na uno langu kwa sababu ni la kawaida sana na nilicheza tu siyo kwa ajili ya kumtega Diamond kama wanavyosema, wasinigombanishe na Tanasha,” alisema Lulu Diva.
STORI: IMELDA MTEMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment