Search This Blog
Tuesday, December 10, 2019
Kilimanjaro Stars Yaishindilia Zanzibar Heroes Bila Huruma....
Timu ya Taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars leo imeshida mchezo wake wa kwanza mbele ya Zanzibar Heroes kwenye michuano ya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa).
Mchezo wa kwanza wa ufunguzi Kilimanjaro Stars ilipoteza kwa kuchapwa bao 1-0 na Kenya lililopachikwa dakika ya nne.
Bao pekee la Kilimanjaro limepachikwa dakika ya 38 baada ya mlinda mlango wa Zanzibar Heroes kuutema mpira uliopigwa na Eliuter Mpepo ukakutana na Ditram Nchimbi ndani ya 18.
Michuano hiyo inafanyika nchini Uganda ambapo kwenye mchezo mwingine Kenya ilishinda bao 1-0 dhidi ya Sudan.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment