Search This Blog

Friday, December 27, 2019

Huyu Hapa DADA Mtanzania Aliyepotea Jicho na Mguu Kutokana na Shambulio la Bomu la Al Shabaab

Natasha, Mrembo Mtanzania ambae mpaka July alikua mzima wa viungo vyote na alikua akichapa kazi usiku/mchana lakini sasa ni habari nyingine, alikwenda Somalia kikazi Hoteli yao ikapigwa bomu na Al-Shabaab, akajeruhiwa jicho na kukatika mguu

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...