Na Hapa ni kwao kwa Msanii Diamondplatnumz na Huu ndio msikiti ambao msanii Diamond Ameujenga kwaajiri ya Wanakijiji wenzake katika mtaa wa Eneo lao... Mwenye Mungu Ambariki Diamond Katika Hili... Wote katika Imani Tuseme **AMIIN
Search This Blog
Monday, December 30, 2019
Diamond Ajenga Msikiti Nyumbani Kwao KIGOMA Auzindua Kwa Kupanda Mti
Diamondplatnumz Akipanda Mti Nje ya Msikiti Alioujenga Mwenyewe, Uliopo Ujiji Unaoitwa MASJID AL-AZIZ na Utatumiwa na waislam Wote Katika Ibada, Hii Ikiwa Sehemu yake ya Kurudisha Kwenye Jamii Kidogo Alichojaaliwa na Mwenyezi Mungu Katika Kipindi Chote Alichofanya Sanaa
Na Hapa ni kwao kwa Msanii Diamondplatnumz na Huu ndio msikiti ambao msanii Diamond Ameujenga kwaajiri ya Wanakijiji wenzake katika mtaa wa Eneo lao... Mwenye Mungu Ambariki Diamond Katika Hili... Wote katika Imani Tuseme **AMIIN
Na Hapa ni kwao kwa Msanii Diamondplatnumz na Huu ndio msikiti ambao msanii Diamond Ameujenga kwaajiri ya Wanakijiji wenzake katika mtaa wa Eneo lao... Mwenye Mungu Ambariki Diamond Katika Hili... Wote katika Imani Tuseme **AMIIN
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment