Search This Blog
Saturday, November 16, 2019
Zamaradi Ajitolea Kumlea BINTI wa Shule Aliyefiwa na Wazazi Wake Wote
Zamaradi Mketema aguswa na kuamua kutaka kumsaidia mtoto huyo wa miaka 16 aliyemaliza kidato cha 4 mwaka huu ambaye amefiwa na wazazi wake wote pamoja na ndugu zake watatu kwa mpigo
"Sina Utajiri na bado sijafika, na najua nina matatizo mengi sana kama mwanadamu, lakini kutoka moyoni huyu mtoto kama hana watu wa kuishi nae na kama nitaruhusiwa na ndugu waliobaki NAOMBA NIJITOLEE NIMLEE KWANGU, KAMA NITARIDHIWA NA WAHUSIKA, najua kwasasa anahitaji watu zaidi kuliko kingine kwenye maisha yake, niko tayari kuwa huyo mtu, nitahangaika nae tu, kwa mwenye contact za wahusika aje DM, kama mzazi nimewaza angekuwa mwanangu aisee halafu nashindwa" ameandika Zamaradi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment