Search This Blog

Saturday, November 16, 2019

Jack Wolper "Naona Watu Wengi Wanamsifia Raisi tu Wanaacha Kuongea Matatizo yetu


"Naona watu wengi wanamsifia Raisi tu wanaacha kuongea matatizo yetu, unajua sisi tuna matatizo mengi tuna Changamoto nyingi lakini naona kusifia sifia tu, sijajua kwa nini imekuwa hivyo, ukipata nafasi ongea nyumbulika ongea matatizo sio unasifia tu"-Jack Wolper.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...