Search This Blog

Sunday, November 17, 2019

Waziri Mwakyembe ASEMA Kauli Yake Haikumlenga ROMA Mkatoliki..


Baada ya kelele nyingi za mitandaoni, hatimaye Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Dr.Harrison Mwakyembe (PhD) amesema kauli yake ya awali haikumlenga Roma kwa kuwa hakujua kama ametoa wimbo mpya. Kuhusu kutokukosolewa na msanii aliyeishia "darasa la 7" amesema hakumlenga Roma kwa kuwa Roma ni msanii msomi (ana shahada ya Computer Science, ya chuo kikuu UDSM) na anafanya vizuri kwenye tasnia ya sanaa kama wenzake kina Vanesa Mdee, Harmonize etc.!

Nini maoni yako

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...