Search This Blog
Sunday, November 17, 2019
Waziri Mwakyembe ASEMA Kauli Yake Haikumlenga ROMA Mkatoliki..
Baada ya kelele nyingi za mitandaoni, hatimaye Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Dr.Harrison Mwakyembe (PhD) amesema kauli yake ya awali haikumlenga Roma kwa kuwa hakujua kama ametoa wimbo mpya. Kuhusu kutokukosolewa na msanii aliyeishia "darasa la 7" amesema hakumlenga Roma kwa kuwa Roma ni msanii msomi (ana shahada ya Computer Science, ya chuo kikuu UDSM) na anafanya vizuri kwenye tasnia ya sanaa kama wenzake kina Vanesa Mdee, Harmonize etc.!
Nini maoni yako
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment