Search This Blog

Tuesday, November 12, 2019

Wakazi Dar wafurika ofisi za NIDA kusaka vitambulisho


Ikiwa Disemba 31, 2019 ndio mwisho wa usajili wa laini za simu kwa alama za vidole.Wakazi Dar wafurika ofisi za Nida kusaka vitambulisho vya uraia

Ili uweze kusajili laini ni lazima uwe na kitambulisho cha uraia kinachotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).

Jana katika ofisi za Nida wilaya yaTemeke na Ilala kulikuwa na idadi kubwa ya wananchi wakisaka vitambulisho hivyo.

Zimebaki siku 47 kufikia mwisho wa usajili wa laini hizo jambo linaloashiria kuwa baadhi ya wananchi simu zao hazitakuwa hewani kuanzia Januari Mosi, 2020.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...