Search This Blog
Tuesday, November 12, 2019
Maafisa wa Bunge Kenya watembelea Dodoma
Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai hapo jana Jumanne aliupokea na kufanya mazungumzo na ujumbe wa maafisa wa Bunge la Kenya wakiongozwa na Katibu msaidizi mwandamizi, Lawrence Amollo aliyeambatana pia na Mkurugenzi wa Idara ya Shughuli za Bunge, Mahusiano na Machapisho, Njenga Ruge walipotembelea ofisini kwake jijini Dodoma.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment