Search This Blog

Tuesday, November 12, 2019

Maafisa wa Bunge Kenya watembelea Dodoma


Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai hapo jana Jumanne aliupokea na kufanya mazungumzo na ujumbe wa maafisa wa Bunge la Kenya wakiongozwa na Katibu msaidizi mwandamizi, Lawrence Amollo aliyeambatana pia na Mkurugenzi wa Idara ya Shughuli za Bunge, Mahusiano na Machapisho, Njenga Ruge walipotembelea ofisini kwake jijini Dodoma.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...