Search This Blog
Saturday, November 2, 2019
Unambiwa TIMU ya Liverpool Haishikiki Uingereza
Klabu ya Liverpool imeweza kuibuka na ushindi wa bao 2-1 mbele ya Aston Villa katika mchezo ulioonekana mgumu kwa upande wa Liverpool baada ya kuwa nyumba kwa goli moja kabla ya kusawazisha na kuongeza jingine dakika za majeruhi.
Goli la Aston Villa lilifungwa na Trezeguet dakika ya 21 na yale ya Liverpool yakifungwa na Andrew Robertson dakika ya 87 , Sadio Mane dakika ya 94.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...

No comments:
Post a Comment