Search This Blog

Monday, November 25, 2019

Mapokezi ya klabu ya Flamengo nchini Brazil yatia fora


Mapokezi ya klabu ya Flamengo nchini Brazil baada ya kurejea kutoka nchini Peru waliposhinda ubingwa wa Klabu Bingwa Amerika Kusini (Copa Libertadores) kwa kushinda goli 2-1 katika mchezo wa fainali dhidi ya River Plate na kuchukua kombe hilo kwa mara ya kwanza baada ya miaka 38.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...