Search This Blog
Thursday, November 28, 2019
Klabu iliyopata ajali mbaya ya Ndege yashuka daraja
Klabu ya Chapecoense imeshuka daraja kutoka katika ligi kuu nchini Brazil, siku moja kabla ya kutimiza miaka mitatu tangu timu hiyo kupata ajali ya ndege wakiwa wanaelekea nchini Colombia kwenye fainali ya Copa Sudamericana
Kipigo cha nyumbani cha goli 1-0 kutoka kwa Botafogo walichokipata jana Jumatano, kimewahakikishia kushuka daraja kutoka Serie A na kwenda Serie B zikiwa zimebaki mechi 3 msimu kumalizika.
Wanashuka daraja ikiwa imepita miaka sita tangu wapande kuingia katika ligi hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment