Search This Blog

Thursday, November 28, 2019

Klabu iliyopata ajali mbaya ya Ndege yashuka daraja


Klabu ya Chapecoense imeshuka daraja kutoka katika ligi kuu nchini Brazil, siku moja kabla ya kutimiza miaka mitatu tangu timu hiyo kupata ajali ya ndege wakiwa wanaelekea nchini Colombia kwenye fainali ya Copa Sudamericana

Kipigo cha nyumbani cha goli 1-0 kutoka kwa Botafogo walichokipata jana Jumatano, kimewahakikishia kushuka daraja kutoka Serie A na kwenda Serie B zikiwa zimebaki mechi 3 msimu kumalizika.

Wanashuka daraja ikiwa imepita miaka sita tangu wapande kuingia katika ligi hiyo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...