Search This Blog
Sunday, November 24, 2019
DR Congo: Watu 9 wa familia moja wafariki kwenye ajali ya ndege
Watu 9 wa familia moja ni miongoni mwa watu 27 waliofariki dunia baada ya ndege ya abiria kuanguka kwenye nyumba za watu mjini Goma, DR Congo muda mfupi baada ya kuruka.
Ndege hiyo (Dornier-228 twin-turboprop) ilikuwa na watu 19, ilikuwa ikiruka kutoka Goma kwenda Beni, umbali wa KM 350.
Taarifa za awali zinadai kuwa ndege hiyo ndogo ilipata hitilafu ya injini kabla ya kuanguka.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment