Search This Blog
Sunday, November 24, 2019
Direkta Kenny abeba Tuzo ya AFRIMA
Katika tuzo za AFRIMA mwaka huu mkongwe 2 Face (2 Baba) ametunukiwa tuzo ya heshima, huku majina ya wasanii wa Afrika Magharibi kwa maana ya Nigeria na Ghana ndio yametawala na Afrika Kusini wakizibeba Tuzo za kutosha.
Kwa upande wa Afrika Mashariki, Kenya wamewakilishwa vyema na Sauti Sol huku Tanzania akiibeba Director Kenny Pekee.
BAADHI YA WASHINDI NI PAMOJA NA
Best Female Artist in Western Africa
• Tiwa Savage - Nigeria
Best Male Artist in Western Africa
• Burna Boy - Nigeria
Best Artiste, Duo or Group in African Pop
• Joeboy - Nigeria
Best African DJ
• DJ Spinall - Nigeria
Artist of The Year in Africa
• Burna Boy - Nigeria
Best Artist, Duo or Group in African Contemporary
• 2Baba - Nigeria
Best Male Artist in Eastern Africa
• Khaligraph Jones - Kenya
Best Female Artist in Eastern Africa
• Nikita Kering - Kenya
Best Male Artist in Southern Africa
• Sjava - South Africa
Best Female Artist in Southern Africa
• Nadia Nakai - South Africa
Album of the Year in Africa
• Afrikan Sauce – Sauti Sol (Kenya)
Best African Collaboration
• Nasty C (South Africa) – ‘SMA’ ft. Rowlene
Best African Duo, Group or Band
• Sauti Sol (Kenya)
Best Artist, Duo or Group in African Hip Hop
• Nadia Nakai (South Africa)
Best Video Director Of The Year
• Director Kenny - Tanzania
Best African Rapper/Lyricist
• Nasty C - South Africa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment