Search This Blog
Monday, October 28, 2019
Yanga kuifuta Pyramids FC Oktaba 31
Wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa, Yanga, wanarajia kuondoka hapa nchini Oktoba 31 mwaka huu kwenda Misri kwa ajili ya mchezo wa mkondo wa pili dhidi ya Pyramids FC katika hatua ya mtoano ya kombe la shrikisho la CAF.
Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga Dismas Ten amewaomba wanayanga kuwa pamoja kipindi hiki ambacho timu inajiandaa na mchezo wa marudiano unaotarajiwa kufanyika Novemba 3 jijini Cairo.
Katika mchezo wa awali uliocheza uwanja wa CCM Kirumba Mwanza, Yanga walipoteza kwa goli 2-1.
Katika hatua nyingine Naibu Katibu Mkuu wa Matawi ya Yanga Zanzibar Said Kofi amekemea tabia ya baadhi ya mashabiki kumfanyia vitendo vya utovu wa nidhamu kocha wa timu hiyo Mwinyi Zahera akisema vitendo hivyo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...

No comments:
Post a Comment