Search This Blog
Thursday, October 17, 2019
Utafiti: Asilimia 93 ya wazazi wamewanunulia watoto wao smart phone
Utafiti wa hivi karibuni umeonyesha kuwa zaidi ya asilimia 93 ya wazazi nchini China wamewanunulia watoto wao simu janja (smart phone) kwa matumizi ya kila siku.
Kwa mujibu wa Jarida la China Youth Daily liliripoti kuwa kiwango cha umiliki wa simu ni mkubwa zaidi kwa watoto wanaohudhuria shule ya sekondari ambao unazidi asilimia 97.
Hata hivyo, Gazeti hilo liligundua kwamba wanafunzi wa shule za msingi kutoka darasa la kwanza hadi la tatu waliripoti kiwango cha chini kwa umiliki simu.
Kwa uwiano kwa jiji, uwiano wa umiliki ni mkubwa zaidi kati ya watoto wanaoishi katika miji mikubwa na chini kabisa kati ya wanafunzi wa vijijini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment