Search This Blog
Saturday, October 26, 2019
TID amzuia DJ ndani ya Club kupiga nyimbo za Nigeria ‘
Msanii wa muziki wa bongo Fleva, TID jana usiku amemzuia DJ K3 kupiga nyimbo za Nigeria na badala yake kumtaka apige ngoma za Tanzania tu kwani angekuwa Nigeria na angepiga nyimbo za Tanzania ndani ya Club zao wangemuua.
TID amesema hayo usiku wa jana kwenye Party yake maalum aliyoifanya ndani ya Club Elements ya kusikiliza wimbo wake mpya wa ‘ANY MORE’ aliomshirikisha Lady Jaydee.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment