Search This Blog

Tuesday, October 8, 2019

Prof. Ndalichako amwakilisha Waziri Mkuu ufunguzi warsha ya Kimataifa inayohusu uongozi


Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amemwakilisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa katika hafla ya ufunguzi wa warsha ya Kimataifa inayohusiana na masuala ya uongozi katika mapinduzi ya nne ya Viwanda.

Warsha hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam na imehudhuriwa na Viongozi mbalimbali akiwemo Naibu Katibu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Jim Yonaz na Gavana Mstaafu wa Benki kuu Beno Ndulu.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...