Search This Blog
Tuesday, October 8, 2019
Prof. Ndalichako amwakilisha Waziri Mkuu ufunguzi warsha ya Kimataifa inayohusu uongozi
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amemwakilisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa katika hafla ya ufunguzi wa warsha ya Kimataifa inayohusiana na masuala ya uongozi katika mapinduzi ya nne ya Viwanda.
Warsha hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam na imehudhuriwa na Viongozi mbalimbali akiwemo Naibu Katibu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dkt. Jim Yonaz na Gavana Mstaafu wa Benki kuu Beno Ndulu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment