Search This Blog

Sunday, October 20, 2019

Marcos Alonso aing'arisha Chelsea

Marcos Alonso akishangilia na Tammy Abraham baada ya kuifungia Chelsea bao pekee dakika ya 73 ikiilaza 1-0 Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...