Search This Blog

Thursday, October 3, 2019

Jeneza la miaka 2,100 liloibwa larejeshwa


Jeneza la miaka 2,100 lililokuwa limeibiwa kutoka Misri kwa kutumia leseni bandia, la kuhani wa zamani wa Misri Nedjemankh lilirudishwa katika jumba la makumbusho la Misri siku ya Jumatano.

Jeneza hilo lilipatikana kwenye Jumba la Sanaa la Metropolitan, New York baada ya kununuliwa kutoka kwa muuzaji wa sanaa mjini Paris mwaka wa 2017 kwa dola milioni nne za Marekani. Marekani imeomba Misri msamaha.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...