Search This Blog
Thursday, October 3, 2019
Dkt Kigwangala awa Waziri wa kwanza kufika kilele cha mlima Kilimanjaro
Sekta ya Utalii nchini imeandika Historia mpya baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii,Dkt Hamis Kigwangala kuweka rekodi ya kuwa Waziri wa kwanza wa Wizara ya Maliasili na Utalii kufika katika Kilele kirefu barani Afrika,Kilele cha Uhuru ,umbali wa mita 5895 kutoka usawa wa bahari.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...





No comments:
Post a Comment