Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Harmonize leo Oktoba 20, 2019 amefungua mgahawa wake unaotembea wa KONDE BOY MGAHAWA ambao utatoa huduma ya chakula bure kwa watu wenye uhitaji.
VIDEO:
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
No comments:
Post a Comment