Search This Blog
Sunday, October 6, 2019
Golikipa Tim Howard atangaza kustaafu
Golikipa wa zamani wa timu ya taifa ya Marekani, Tim Howard ametangaza kustaafu uchezaji soka baada ya kucheza mechi yake ya mwisho akiwa na klabu ya Colarado Rapids
Howard amecheza zaidi ya mechi 800 katika maisha yake ya soka. Amecheza jumla ya mechi 399 kwenye Ligi kuu ya soka England, katika klabu za Manchester United na Everton kabla ya kujiunga na Ligi Kuu ya Marekani (MLS) miaka mitatu iliyopita
Howard mwenye umri wa miaka 40 alianza kudakia timu ya taifa ya Marekani mwaka 2002, kacheza jumla ya mechi 121 timu ya Taifa, amesimama golini kwenye kombe la dunia; German 2006, South Africa 2010 na Brazil 2014.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment