Search This Blog
Sunday, October 6, 2019
China yazindua setilaiti itakayotumika kwa uchunguzi wa ardhi
China imezindua setilaiti ya Gaofen-10, itakayotumika kwa uchunguzi wa ardhi, kilimo, misaada ya majanga na mikakati muhimu ya kitaifa.
Setilaiti ya Gaofen-10 ilibebwa na roketi ya masafa marefu ya March-4C, ilirushwa kutoka kwa kituo cha kuzindua setilaiti cha Taiyuan, mkoa wa Shanxi, kaskazini mwa China mwendo jana asubuhi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...

No comments:
Post a Comment