Search This Blog
Tuesday, October 15, 2019
Alexis Sanchez kukaa nje ya uwanja kwa miezi mitatu
Mshambulizi wa Inter Milan , Alexis Sanchez huenda akakosa kuichezea klabu hiyo kwa muda wa miezi mitatu kutokana na jeraha alilopata akichezea nchi yake ya Chile dhidi ya Colombia siku ya Jumamosi.
Mchezaji huyo alieyejiunga na Inter Milan mwanzoni mwa msimu huu kwa njia ya mkopo kutoka Manchester United, alililazimika kutoka uwanjani mnamo dakika ya 88, mechi ilichezwa mjini Alicante nchini Uhispania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment