Search This Blog

Sunday, October 13, 2019

Agizo la Rais Magufuli kwa Bibi Kikongwe wa Miaka 94 alieporwa Shamba na Kijiji,Latekelezwa

Agizo la Mh.Rais Dk. John Magufuli  alilolitoa kwa mkuu wa mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti la  kufuatilia Bibi Martha Kuzilwa (94 ) mkazi wa kijiji cha Loisinyai kata ya Oljoro namba 5  la kurejeshewa akari zake 300 alizoporwa na Serikali ya Kijiji limetekelezwa jana Jumamosi oktoba 12.2019 na Mkuu wa wilaya ya Simanjiro, Mhandisi Zephania Chaula, akiwa na Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo Yefred Myenzi kwa niaba ya mkuu wa mkoa huo Mnyeti.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...