Agizo la Mh.Rais Dk. John Magufuli alilolitoa kwa mkuu wa mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti la kufuatilia Bibi Martha Kuzilwa (94 ) mkazi wa kijiji cha Loisinyai kata ya Oljoro namba 5 la kurejeshewa akari zake 300 alizoporwa na Serikali ya Kijiji limetekelezwa jana Jumamosi oktoba 12.2019 na Mkuu wa wilaya ya Simanjiro, Mhandisi Zephania Chaula, akiwa na Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo Yefred Myenzi kwa niaba ya mkuu wa mkoa huo Mnyeti.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment