UKISIKIA mawifi ambao hawataki shobo ndiyo kama huyu dada wa mwanamuziki wa Kizazi Kipya, Ally Saleh Kiba ‘AliKiba’, Zabibu Kiba ambaye ameweka wazi kamwe hawezi kuingilia ndoa za kaka zake.
Zabibu alitoa kauli hiyo juzikati alipoulizwa na Showbiz Xtra kuhusu ndoa za kaka zake, Kiba na Abdu ambazo zinaonekana kupumulia mashine.
“Unajua siyo kitu kizuri kabisa kuingilia ndoa za kaka zako, ninachojua wale ni wifi zangu kama huko nyuma nilivyotambulishwa na siyo hivyo tu tulicheza na harusi sasa ikifika wakati kama ndoa zao hazipo wataniweka wazi kama dada lakini kwa sasa bado sijaambiwa chochote kile na pia nawaombea ndoa zao ziendelee kudumu,” alisema Zabibu.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...

No comments:
Post a Comment