Search This Blog
Monday, September 30, 2019
Yanga yaangukia kwenye milioni baada ya kuzikosa bilioni za CAF
Unaambiwa kama Yanga wangefanikiwa kuiondoa Zesco United katika Ligi ya Mabingwa Afrika juzi Jumamosi, timu hiyo ingejinyakulia dola za Kimarekani 550,000 ambazo ni sawa zaidi ya bilioni 1.5 za Kitanzania.
Licha ya kuzikosa dola hizo, lakini kwa kuwa inaendelea na mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Yanga sasa inaweza kuambulia dola 275,000 ambazo ni zaidi shilingi za Kitanzania, milioni 774.
Yanga ilitupwa nje ya michuano hiyo kwa kipigo cha bao 2-1 juzi Jumamosi na kufanya jumla ya matokeo hayo pamoja na mechi ya raundi ya kwanza iwe ni mabao 3-2.
Yanga itatwaa dola 275 endapo kama itatinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment