Search This Blog

Sunday, September 15, 2019

Waziri wa Maji atoa agizo hili litekelezwe ndani ya miezi mitatu


Waziri wa Maji, Prof. Makame Mbarawa amezipa miezi mitatu mamlaka za maji zinazotumia bei ya makadirio kuhakikisha wateja wote wamefungiwa dira za maji ili kila mteja alipe gharama ya maji kwa kiasi alichotumia.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...