Search This Blog
Sunday, September 22, 2019
Waziri Prof. Kabudi kumwakilisha Rais Magufuli katika mkutano wa Baraza la kudumu la Umoja wa Mataifa Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akifuatilia maelezo kutoka kwa Balozi wa kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa uliopo New York,Marekani Balozi Modest Mero .
Prof. Kabudi yupo New York Marekani kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika mkutano wa 74 wa Baraza la kudumu la Umoja wa Mataifa unaofanyika New York,Marekani tangu Septemba 21,2019 hadi Septemba 30,2019.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment