Waziri Mkuu wa Uingereza amepata pigo jingine baada ya waziri mwandamizi Amber Rud kujiuzulu kwa kupinga namna ambavyo anashughulikia suala la Uingereza kujiondoa katika Umoja wa Ulaya-Brexit.
Kujiuzulu kwake kumelifanya kuwa juma baya zaidi kwa Johnson ambae anajaribu kuidhibiti nchi yake iliyogawanyika, katika wakati wa mzozo mkubwa wa kisiasa tangu vita vya pili vya dunia.
Rudd alikuwa mwanachama mwenye siasa za wastani wa serikali ya waziri mkuu wa zamani Theresa May ambae aliridhia Johnson kuchukua nafasi ya Mei katika kipindi cha changamoto ya uongozi wa Uingereza mwezi Julai.
Lakini anasema hawezi tena kumridhia kiongozi huyo kutokana na namna anavyoshughulia suala la Brexit na Umoja wa Ulaya au anavyoshughulia siasa za ndani ya nchi.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment