Kazi ya unjezni wa Machinjio ya kisasa ya Vingunguti ukiendelea kwa kasi jijini Dar,ujenzi huo unafanyika usiku na mchana,huku Mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda akikesha na kushiriki kwa ukamilifu kumwaga zege kuhakikisha mradi huo muhimu kwa Wakazi wa jiji la Dar na Watanzania kwa ujumla unakimilika mapema iwezekanavyo
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment