Search This Blog
Sunday, September 22, 2019
Recho "Nilipata Mchumba Uarabuni ila......"
“Nipo singo kwa sasa japo huko nyuma zilipita stori nyingi sijui Recho ameolewa Uarabuni wakati si kweli. Kule nilipata boyfriend lakini tulishaachana,” Recho Kizunguzungu ameiambia Global Radio .
.
Mrembo huyo alisema kati ya vitu ambavyo vimemuumiza maishani ni skendo ya kutumia madawa ya kulevya ambayo kwa sasa hapendi kuizungumzia kwani inamuumiza. “Ningependa tusiizungumzie sababu inaniumiza na haina ukweli,” alisema Recho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment