Search This Blog

Sunday, September 22, 2019

Recho "Nilipata Mchumba Uarabuni ila......"


“Nipo singo kwa sasa japo huko nyuma zilipita stori nyingi sijui Recho ameolewa Uarabuni wakati si kweli. Kule nilipata boyfriend lakini tulishaachana,” Recho Kizunguzungu ameiambia Global Radio .
.
Mrembo huyo alisema kati ya vitu ambavyo vimemuumiza maishani ni skendo ya kutumia madawa ya kulevya ambayo kwa sasa hapendi kuizungumzia kwani inamuumiza. “Ningependa tusiizungumzie sababu inaniumiza na haina ukweli,” alisema Recho.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...