Search This Blog
Saturday, September 28, 2019
Ratiba ya mechi za ligi kuu Tanzania Bara Jumapili hii
Ligi kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea kutimua vumbii Jumapili ya leo kwa mechi tatu tofauti.
Kenye mechi ya kwanza mbayo itachezwa katika uwanja wa Karume mjini Musoma, Biashara United watawakaribisha Simba SC.
Mechi ya pili itakuwa kati ya KMC ambayo itawakaribisha Ndanda FC katika uwanja wa Azam Complex, Chamanzi.
Katika uwanja wa Jamuhuri mjini Morogoro, Mtibwa Sugar watawakaribisha Mbeya City.
Michezo yote hiyo inatarajiwa kuchezwa majira ya saa 10 jioni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment