Search This Blog
Saturday, September 28, 2019
Antonio Nugaz awatuliza mashabiki wa Yanga na kichapo cha Zesco
Ofisa Uhamasishaji wa klabu ya soka ya Yanga, Antonio Nugaz amefunguka kuwa wao ni wakimataifa licha ya kupoteza mchezo wa klabu bingwa Afrika dhidi ya Zesco.
Pia Nugaz amewashukuru mashabiki wote ambao wameisupport timu yao maana imetoka upande wa kulia na imeingia kushoto.
"Kwa sasa sisi ni wa kimataifa, kushindwa kwetu kutinga hatua ya makundi haina maana ya mwisho wa mbio kimataifa bali tunaingia kwenye kombe la shirikisho huko tutapambana," amesema Nugaz.
"Shukrani kwa mashabiki kwa sapoti kubwa na Yanga tumeonyesha maana ya kuwa wa kimataifa tumetoka kulia tumeingia upande wa kushoto," amesema," ameongeza.
Yanga ilitolewa na Zesco kwenye michuano ya klabu bingwa kwa jumla ya mabao 3-2 na kutupwa mpaka kwenye michuano ya kombe la Sshirikisho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment