Search This Blog

Sunday, September 1, 2019

Rais Magufuli kukutana na Watendaji wa Kata Ikulu leo


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo atakutana na Watendaji wa Kata wa nchi nzima katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Watendaji wa Kata wote wataingia Ikulu kupitia lango la mashariki (baharini) na mkutano utaanza saa 3:30 asubuhi. Taarifa ya Kurugenzi Mawasiliano Ikulu imeeleza hivyo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...