Search This Blog

Sunday, September 1, 2019

PICHA: Gari la Mwendo Kasi Lilivyoungua Usiku wa Jana

PICHA: Basi la Mwendokasi lililokuwa linatokea Mjini kuelekea Kimara Mwisho limeteketea kwa moto eneo la Kimara Mwisho DSM usiku huu, hakuna madhara yaliyojitokeza kwa Binadamu, Kaimu RPC Kinondoni amesema bado chanzo cha ajali hakijajulikana hadi pale uchunguzi utakapofanyika.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...