Search This Blog
Sunday, September 29, 2019
Prof. Kabudi ampa Kongole Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Salim Ahmed Salim
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) amempa Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Salim Ahmed Salim kufuatia kitendo cha kutunukiwa Nishani ya Juu ya Urafiki ya Jamhuri ya Watu wa China nishani ambayo inamfanya Dkt. Salim kuwa mwafrika wa kwanza kupewa heshima na tuzo hiyo ya juu katika historia ya China.
Prof. Palamagamba John Kabudi amesema Nishani aliyopewa Dkt. Salim Ahmed Salim anastahili na kuwataka Watanzania wanapopewa majukumu ya Kitaifa kuyafanya kwa uaminifu na uzalendo usiotiliwa mashaka kwakuwa mbali na kumpa muhusika sifa inaleta heshima kwa Taifa zima kama ilivyo kwa Dkt. Salim Ahmed Salim.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa Kai...

No comments:
Post a Comment