Search This Blog
Tuesday, September 3, 2019
Mchungaji Alieoa Wake Watatu Afikishwa Mahakamani
Mchungaji wa Kanisa la The Early Church of Lord Yeshwah, David Chirhuza (33), mwenye wake watu na watoto sita amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na wake zake wawili katika kwa tuhuma za kuingia nchini bila kibali.
Mbali na Mchungaji Chirhuza, washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Esther Sebuyange (27), Kendewa Ruth (26) ambao ni wake wa mchungaji huyo na Samwel Samy (22) ambaye ni mdogo wa Mchungaji huyo.
Washtakiwa hao walipandishwa kizimbani jana mbele ya Hakimu Mkazi Agustino Mbando na kusomewa mashtaka mawili ya kuishi nchini bila vibali. Kesi hiyo imeahirishwa hadi Septemba 9 mwaka huu kwa ajili ya kutajwa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment