Search This Blog

Tuesday, September 3, 2019

Mchungaji Alieoa Wake Watatu Afikishwa Mahakamani


Mchungaji wa Kanisa la The Early Church of Lord Yeshwah, David Chirhuza (33), mwenye wake watu na watoto sita amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na wake zake wawili katika kwa tuhuma za kuingia nchini bila kibali.

Mbali na Mchungaji Chirhuza, washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Esther Sebuyange (27), Kendewa Ruth (26) ambao ni wake wa mchungaji huyo na Samwel Samy (22) ambaye ni mdogo wa Mchungaji huyo.

Washtakiwa hao walipandishwa kizimbani jana mbele ya Hakimu Mkazi Agustino Mbando na kusomewa mashtaka mawili ya kuishi nchini bila vibali. Kesi hiyo imeahirishwa hadi Septemba 9 mwaka huu kwa ajili ya kutajwa

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...