Search This Blog
Tuesday, September 3, 2019
Hawa Nitarejea "Siamini Wanaume..Kuna Mmoja Alinibadilisha Dini Alafu Akanitelekeza"
SWALI: Vipi kama atatokea mwanaume mwenye nia nzuri ya kukuoa?
HAWA NITAREJEA: Sidhani kama nitakuja kumuamini mwanaume yeyote yule, kwa sababu alishawahi kuja kijana mmoja mpaka nyumbani kwetu, akajitambulisha na kunitolea mahari, nikabadili mpaka dini kuwa Mkristo kwa sababu yake, lakini alikuja kuniacha vibaya, ndio maana mpaka leo hii siamini wanaume kabisa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...

No comments:
Post a Comment