Search This Blog
Thursday, September 26, 2019
Kijana ahukumiwa miaka 30, jela kwa kosa la kumbaka dada yake
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela kijana mmoja, Kadushi Edward mkazi wa Kijiji cha Katindi, wilayani Uyui baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka dada yake mwenye umri wa miaka 16.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela kijana mmoja, Kadushi Edward mkazi wa Kijiji cha Katindi, wilayani Uyui baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka dada yake mwenye umri wa miaka 16. Video Credit 💳 by @azamtvtz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment