Search This Blog

Thursday, September 26, 2019

Kijana ahukumiwa miaka 30, jela kwa kosa la kumbaka dada yake


Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela kijana mmoja, Kadushi Edward mkazi wa Kijiji cha Katindi, wilayani Uyui baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka dada yake mwenye umri wa miaka 16.

 Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tabora imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela kijana mmoja, Kadushi Edward mkazi wa Kijiji cha Katindi, wilayani Uyui baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka dada yake mwenye umri wa miaka 16. Video Credit 💳 by @azamtvtz

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...