Search This Blog
Sunday, September 8, 2019
Hali ya Mchekeshaji Kevin Hart Baada ya Kupata AJALI Mbaya ...Afanyiwa Upasuaji
Star wa filamu na vichekesho nchini Marekani amefanikiwa kufanyiwa upasuaji wa mgogo baada ya kupata ajali mbaya ya gari mwishoni mwa wiki iliyopita katika eneo la Malibu hills.
Msanii huyo mwenye umri wa miaka 40 alipata ajali hiyo akiwa na gari yake aina ya Plymouth Barracuda huku ndani ya gari hilo kukiwa na watu watatu lakini mmoja hakupata tatizo lolote japokuwa gari iliharibika vibaya.
Mke wa msanii huyo Enika Hart amethibitisha mume wake huyo kufanyiwa upasuaji wa sehemu ya mgongo na sasa anaendelea vizuri.
‘Tunashukuru kevin anaendelea vizuri kwasasa aalifafanikiwa kufanyiwa upasuaji sehemu ya mgongo na hali yake kwa sasa imeanza kukaa sawa, tunashukuru kwa maombi na salamu mbalimbali za pole kupitia mitandao ya kijamii’ alisema Eniko.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment