Search This Blog

Thursday, September 5, 2019

BREAKING: Rais Mstaafu wa Zimbabwe Robert Mugabe Afariki Dunia

Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe amefariki dunia.

Mugabe alikuwa nchini Singapore akipokea matibabu kwa muda mrefu. Ameiongoza Zimbabwe kutoka 1980 mpaka 2017, alipong'olewa madarakani na  jeshi.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...