Search This Blog
Monday, September 2, 2019
Ahukumiwa kifungo cha miaka 13 jela kwa kumuua mchumba wake
Mahakama ya Cambaodia imemhukumu aliyekuwa gavana wa mkoa wa Taeko, Lay Vannak kifungo cha miaka 13 gerezani baada ya kumpata na hatia ya kuua mchumba wake.
Vilevile, mahakama hiyo imemhukumu aliyekuwa naibu mkuu wa polisi wa mkoa huo Lay Narith, ambaye pia ni nduguye gavana huyo miaka 10 gerezani kwa kushirikiana na yeye kutekeleza mauaji hayo.
Kwa mujibu wa mahakama hiyo, dereva wa Vannak na mfanyikazi wa nyumbani kwa mchumba wake pia walihukumiwa miaka miwli gerezani kwa kuficha ushahidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment