Search This Blog
Wednesday, August 21, 2019
WCB wavunja ukimya kuhusu Harmonize kuondoka
Meneje wa Diamond Platnumz, Sallam Sk amesema kuwa kwasasa hivi ndani ya moyo wa Msanii Harmonize haupo tena WCB baada ya kuandika barua ya kuvunja mkataba wake.
Sallam amesema kuwa kimakaratasi Harmonize bado ni msanii wa lebo hiyo, lakini kitu walichopendezewa nacho kutoka kwa msanii huyo ni kwamba amefuata sheria.
"Harmonize kwasasa hivi ndani ya moyo wake haupo WCB , Harmonize kimakaratasi bado ni msanii wa WCB ametuma barua ya kuvunja makataba wake na yuko tayari kupitia vifungu vyote vya sheria," alisema Sallam.
"Kwahiyo hicho ndio kitu ambacho tumependezewa nacho ambacho yeye mwenyewe ameridhia na ameomba kikao na uongozi tumependezewa nacho kwasababu mtu ambaye amesimama na anafuata sheria."
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment