Search This Blog
Monday, August 19, 2019
Waziri wa Elimu awapa neno Wanafunzi wanaoenda kusoma China
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako amewaasa wanafunzi waliopata ufadhili wa masomo ya Elimu ya juu nchini China kuwa mabalozi wazuri wa Tanzania nchini humo.
Waziri Ndalichako amesema hayo Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kuwaaga wanafunzi hao iliyofanyika katika ofisi za ubalozi wa China nchini.
Jumla ya wanafanzi 61 wamepata ufadhili wa masomo kwa shahada za uzamili na uzamivu katika fani za Afya, Uhandisi, Utabibu, TEHAMA na Mazingira.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment