Search This Blog
Monday, August 26, 2019
Waliofariki kwa mvua na mafuriko Sudan wafikia 62
Idadi ya watu waliofariki dunia kufuatia mvua kubwa na mafuriko nchini Sudan imeongezeka hadi 62. Naibu waziri wa afya wa Sudan Bw. Sulaiman Abdul-Jabbar amesema, watu wengine 98 wamejeruhiwa.
Jumla ya familia 35,850 zimeathiriwa kote nchini na nyumba 22,676 zimeharibiwa kabisa. Hata hivyo amesema Sudan ina uwezo wa kukabiliana na hatari za msimu huu wa mvua
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment