Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi alifika eneo la tukio na kuwaomba madereva kuendelea na shughuri ya kusafirisha abiria huku juhudi mbalimbali za kutatua kero hizo zikiendelea.
Na amepiga marufuku shughuri mbalimbali ikiwamo kuchoma mahidi na mishkaki katika eneo hilo na kutaka watu hao kwenda kwenye maeneo yaliyotengwa kwa shughuri.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU-SUBSCRIBE

No comments:
Post a Comment