Search This Blog

Monday, August 19, 2019

VIDEO: Tahadhari yatolewa ndani ya stendi ya Dodoma


Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi alifika eneo la tukio na kuwaomba madereva kuendelea na shughuri ya  kusafirisha abiria huku juhudi mbalimbali za kutatua kero hizo zikiendelea.

Na amepiga marufuku shughuri mbalimbali ikiwamo kuchoma mahidi na mishkaki katika eneo hilo na kutaka  watu hao kwenda kwenye maeneo yaliyotengwa kwa shughuri.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU-SUBSCRIBE



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...