Search This Blog

Thursday, August 8, 2019

VIDEO: Nane Nane ya Arusha mambo ni moto Naibu Waziri anaongea


Naibu waziri wa  mifugo na uvuvi Abdalah Ulega amewataka wakuu wa mikoa ya Arusha,Manyara na Kilimanjaro kuweka mpango utakaohakikisha  halmashauri zilizopo katika mikoa yao zinawawezesha maafisa ugani kupeleka teknolojia za kilimo mifugo na uvuvi vijijini ili wananchi waweze kuzalisha kwa tija zaidi.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU-SUBSCRIBE



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...