Search This Blog

Thursday, August 8, 2019

Lugalo golf club yakaribisha wachezaji toka nchi za SADC


Mwenyekiti wa klabu ya gofu ya Jeshi la Ulinzi la Tananchi wa Tanzania ya Lugalo amewakaribisha wageni wanaokuja kwa ajili SADC kwenda kucheza mchezo katika uwanja wao.

Akizungumza na waandishi wa Habari Mwenyekiti wa KLabu hiyo Brigedia Jenerali Mstaafu Michael Luwongo amesema klabu hiyo imejiandaa kuwapokea wageni wowote

Akizungumzia Mafanikio ya Klabu hiyo amesema anajivunia Timu ya Wanawake ambayo imekuwa ikifanya vyema katika mashindano mbalimbali ikiwemo ya Coast Open yaliyofanyika Mombasa nchini kenya na wachezaji wa Lugalo kuibuka washindi.

Katika mashindano ya hivi karibuni ya TPC open 2019 mchezaji Zumla Hamisi ameibuka na Ushindi kwa Wanawawake huku katika kundi la wachezaji wa kulipwa Richard Mtweve alishika nafasi ya pili na Nafasi ya Tatu Abdalah Yusuph.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...